Mvuvi Aliyeichukuwa si ndo huyu sasa! Enzi za Waziri Magufuli kama u mvuvi kwa kutumia nyavu hizi, walahi weye wapata samaki wakubwa wakubwa tu! Nyavu zako hazito teketezwa kwa kuchomwa moto na wala hutokamatwa na sheria ya kuuwa mazalia ya samaki.
ENDORO WATER FALLS, MAAJABU MENGINE NGORONGORO
-
Mbaraka Mwinshehe aliwahi kuimba akiisifia Morogoro na jinsi maji
yanavyotiririka kutoka milimani.
Mwinshehe angekuwa hai pengine angefika maporomoko ...
0 comments:
Post a Comment