Mmoja wa wafanyakazi ambaye jina lake halikuweza kufahamika akiwa bize na kufuma kitambaa viwanja vya mnazi mmoja jijini Dar es salaam leo kwenye sherehe za maadhimisho ya siku ya wafanyakazi duniani ambazo kitaifa zimefanyika mkoani Morogoro.
Wakati leo wafanyakazi nchini Tanzania wamejumuika na wafanyakazi wenzao duniani kuadhimisha siku ya wafanyakazi ulimwenguni ijulikanayo kama MEI MOSI na hapa nchini rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Jakaya Mrisho Kikwete akihudhuria kama mgeni rasmi kwenye sherehe hizo zilizofanyika kitaifa mkoani Morogoro hali bado si hali katika haya:-
Mishahara duni, kukatwa kodi kubwa, gharama za maisha kuongezeka, mazingira magumu ya kazi na mafao kiduchu ya uzeeni ni mambo yanayopunguza ari ya kazi!
RAIS SAMIA AZINDUA JENGO LA TRA MKOA WA SIMIYU
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dk. Samia Suluhu Hassan leo
tarehe 16.06.2025 amezindua jengo la Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) mkoa
wa Simiy...
WAACHENI WATOTO WAENDE SHULE- RAIS SAMIA
-
Na John Mapepele -OR TAMISEMI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe, Dkt. Samia Suluhu Hassan
amewataka wazazi nchini kuwaachia watoto wa kike kus...
Mahakama yabariki Lissu kujitetea kesi ya uhaini
-
*Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam.*
*MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imemruhusu Mwenyekiti wa Chama cha
Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, ku...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.