Katika michezo mingine Polisi Kirumba wamekuwa washindi mchezo wa bao, ubingwa katika Dats umekwenda kwao Kirumba Resort na mshindi katika mchezo wa pool table ni Sweya Benard wa Mapokezi.
Tuzo ya timu yenye nidhamu katika soka ilikwenda kwao Lowjome Nyakato.
Hawa ndiyo washindi wa tatu netibali timu ya Polisi Ilemela.
Tupe maoni yako
0 comments:
Post a Comment