Maandamano yalianzia katika uwanja wa Nyamagana jijini Mwanza kupitia barabara ya posta, kenyata hatimaye makongoro kuelekea mahala pa mashindano CCM kirumba.
Real na colour zao WAITIIiiii!!!
Arsenal mashabiki na timu yao Mwanza.
Inter Milan.
Liverpool Mwanza.
Real Madrid Mwanza.
Sisi ndiyo sisi hakuna anayefanana na sisi by mashabiki wa 'Mashetani wekundu'.
Kona ya Furahisha kuelekea kirumba.
Ac Milan hawoooo!!!
Ni majigambo, utani na vijembe vilitawala kwenye Paredi la Serengeti Fiesta Bonanza Mwanza wakati mashabiki wakielekea kwenye uwanja wa michezo wa CCM Kirumba.
RAIS SAMIA AFTURISHA WATOTO KIKOMBO DODOMA
-
Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe.
Mwanaidi Ali Khamis akigawa iftar kwa mmoja ya mtoto anayelelewa katka
Makao ...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.