
*******************KUMBUKUMBU YA MASUBO********************
Familia ya marehemu Fidelis Michael Masubo inapenda kuwakaribisha ndugu, Jamaa na Marafiki wote kwenye misa fupi ya kumbukumbu ya kutimiza miaka miwili Tangu atutoke Baba yetu mpendwa Fidelis Michael Masubo.

ENYI NDUGU NA MARAFIKI Njooni tujumuike PAMOJA katika sala.
BWANA AMETOA NA BWANA AMETWAA JINA LAKE LIHIMIDIWE
*****************************AMEN******************************
Tupe maoni yako
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.