Wakiongozwa na jeshi la Polisi nchini mashabiki wa vilabu mbalimbali vya Ulaya jijini Dar es salaam hii leo wameandama hadi viwanja vya Leaders Club kwa ajili michezo ya ufunguzi wa Tamasha la Fiesta 2011 kupitia soka ambapo mashabiki hao waliunda timu zao ambazo zilizotengenezewa ligi ya inayoendelea sasa viwanjani hapo. Mashabiki wa Mwanza na mikoa mingine jiandaeni... Taarifa zaidi sikiliza Clouds FM. Time hii vipute vikiendelea kama kawa.
RAIS SAMIA AFTURISHA WATOTO KIKOMBO DODOMA
-
Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe.
Mwanaidi Ali Khamis akigawa iftar kwa mmoja ya mtoto anayelelewa katka
Makao ...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.