Huku gari ikiwa katika mwendo, macho kwenye simu akichati na simu mbili, Ni dereva wa basi dogo la abilia maarufu kama daladala inayotoa huduma njia ya Nyasaka hadi Igoma kupitia Nyakato Mecco jijini Mwanza .
Hii ni hatari sana. Utafiti unaonyesha kwamba kuendesha huku ukiandika meseji ni hatari zaidi kuliko mtu aliyelewa au kuvuta bangi. Utafiti ninaourejelea unapatikana hapa:
”Rasmi Soko Kuu la Manispaa ya Bukoba lavunjwa”
-
Soko Kuu la Manispaa Bukoba limevunjwa ili kupisha ujenzi wa soko jipya la
kimataifa unaotarajiwa kuanza muda wowote.
Kwa Wakati tofauti wameonekana Wafa...
Hii ni hatari sana. Utafiti unaonyesha kwamba kuendesha huku ukiandika meseji ni hatari zaidi kuliko mtu aliyelewa au kuvuta bangi. Utafiti ninaourejelea unapatikana hapa:
ReplyDeletehttp://matondo.blogspot.com/2009/08/utafiti-kuendesha-gari-huku-ukituma.html