ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Monday, March 21, 2011

NDIYO MAANA AJALI HAZIISHI.

Huku gari ikiwa katika mwendo, macho kwenye simu akichati na simu mbili, Ni dereva wa basi dogo la abilia maarufu kama daladala inayotoa huduma njia ya Nyasaka hadi Igoma kupitia Nyakato Mecco jijini Mwanza .

Tupe maoni yako

1 comments:

  1. Hii ni hatari sana. Utafiti unaonyesha kwamba kuendesha huku ukiandika meseji ni hatari zaidi kuliko mtu aliyelewa au kuvuta bangi. Utafiti ninaourejelea unapatikana hapa:

    http://matondo.blogspot.com/2009/08/utafiti-kuendesha-gari-huku-ukituma.html

    ReplyDelete

Note: Only a member of this blog may post a comment.