Huku gari ikiwa katika mwendo, macho kwenye simu akichati na simu mbili, Ni dereva wa basi dogo la abilia maarufu kama daladala inayotoa huduma njia ya Nyasaka hadi Igoma kupitia Nyakato Mecco jijini Mwanza .
Hii ni hatari sana. Utafiti unaonyesha kwamba kuendesha huku ukiandika meseji ni hatari zaidi kuliko mtu aliyelewa au kuvuta bangi. Utafiti ninaourejelea unapatikana hapa:
GEORGE MASAJU ATEULIWA JAJI MKUU
-
*Na Happiness Katabazi.*
*RAIS Samia Suluhu Hassan Leo amemteua Jaji wa Mahakama ya Rufani George
Mcheche Masaju Kuwa Jaji Mkuu wa Tanzania.*
*Kwa Mujibu ...
TAZAMA USIKU WA BI FELISIA KYAMANI ULIVYO FANA
-
Wanafamilia na Waalikwa wakicheza kwaifuraha na shangwe kwenye siku hii
muhimu ya SendOff ya Bi Felias Kyamani .
Watu walivaa na kupendeza Ukumbi ulipambw...
Hii ni hatari sana. Utafiti unaonyesha kwamba kuendesha huku ukiandika meseji ni hatari zaidi kuliko mtu aliyelewa au kuvuta bangi. Utafiti ninaourejelea unapatikana hapa:
ReplyDeletehttp://matondo.blogspot.com/2009/08/utafiti-kuendesha-gari-huku-ukituma.html