
Vyanzo vimefafanua kuwa uamuzi huo umesababishwa zaidi na matukio ya hivi karibuni ya Pinda kukosoa hadharani kazi ya bomoa bomoa kwenye hifadhi ya barabara lililokuwa likitekelezwa na waziri huyo na kuagiza lisitishwe hadi hapo itakapo amuliwa vinginevyo na Baraza la Mawaziri.
JE NI KWELI?
Tupe maoni yako
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.