ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, March 18, 2011

NISHATI YA GASS YAJA?

Frederick Katulanda ameandika...
Serikali ilieleza kuwa itashusha bei ya nishati Gass ili wanzania wote wamudu kuitumia na kuepukana na utumiaji wa mkaa kupunguza uharibifu wa mazingira. Je, ahadi hiyo imetekelezwa, na kama ni kweli ni watanzania wangapia wameacha kutumia mkaa na sasa wanatumia Gass?

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.