

Mwenyekiti wa tume ya uchaguzi nchini humo, Badru Kiggundu, ametoa wito kwa viongozi wa vyama vyote vya kisiasa nchini humo, kuvunja makundi yote ya wapiganaji ambayo yaliundwa kwa dhamira ya kulinda masanduki ya kupigia kura.
Blogu hii ya jamii inawatakia Uchaguzi Mwema wa Amani wananchi wa Uganda.
Tupe maoni yako
Awaachie wenzake sasa hee! Africa bwana.
ReplyDelete