Pichani ni wanahabari Henry Kavirondo wa chanel 10 (kulia) na Nashon Kennedy wa Mtanzania Daima wakikimbiana mara baada ya kukutana mjengoni wakiwa wametupia mapigozzz aina moja. HIVI ni kwanini?
Kijiji ambacho kuoana mkiwa dini tofauti ni kifo
-
Mauaji ya wanandoa wa imani tofauti ya dini yameshtua kijiji kidogo katika
jimbo la Uttar Pradesh kaskazini mwa India ambapo wakazi wameishi kwa amani
kwa ...
0 comments:
Post a Comment