Marehemu mama Teresa Felician Minde (1943-2011) aliyeaga dunia tarehe 1/2/2011.
Mume wa marehemu mzee Felician akitoa heshima zake za mwisho kwa mwili wa marehemu mkewe.
Huzuni ilitawala ilipofika zamu ya Watoto wa marehemu kutoa heshima zao za mwisho.
Diwani wa kata ya Nyamagana mh. Kotecha akiwafariji wafiwa.
Watoto wa marehemu katika picha hii ni mchezaji wa zamani wa timu ya Pamba ya Mwanza, Fumo Felician (kulia)na kaka yake Felix Felician anayefuata.
Fumo alizimia wakati akitoa heshima za mwisho kwa marehemu mama yake. Pichani akipata msaada toka kamati husika.
Sehemu ya wanandugu.
Jana jioni mara baada ya heshima za mwisho kutolewa mwili wa marehemu ulisafirishwa kwenda Bukoba mkoani Kagera kwaajili ya mazishi yanayotaraji kufanyika siku ya jumapili tarehe 6.feb.2011.
ENDORO WATER FALLS, MAAJABU MENGINE NGORONGORO
-
Mbaraka Mwinshehe aliwahi kuimba akiisifia Morogoro na jinsi maji
yanavyotiririka kutoka milimani.
Mwinshehe angekuwa hai pengine angefika maporomoko ...
Rais Museveni atangazwa mshindi wa uchaguzi Uganda
-
Tume ya uchaguzi nchini Uganda imemtangaza Rais Yoweri Kaguta Museveni kama
mshindi wa uchaguzi uliofanyika Alhamisi wiki hii, akiwa na jumla ya kura
7,946...
0 comments:
Post a Comment