ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, February 4, 2011

IMETOKEA SASA HIVI.....

Dereva tax wa gari lenye namba za usajili T 164 AVR akiwa mafuta mbaya amepitiliza hadi eneo la bustani ya kipita shoto cha katikati ya jiji la miamba na kugonga hata kuling'oa moja ya bango la biashara eneo hilo.

Dereva huyo alikuwa na abiria wawili wa kike na mtoto mdogo, wote hawakudhurika, chanzo: kwa mujibu wa dreva- kufeli kwa breki.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.