
Waziri wa sheria wa Malawi, George Chaponda amesema muswada huo utakaojadiliwa kuwa sheria ndani ya bunge wiki ijayo, utapiga marufuku kabisa kwa mtu kufanya haja hiyo hadharani. Waziri huyo amekiambia kituo kimoja cha radio nchini humo- kwa maneno yake - "nenda chooni kama unajisikia kujamba".

Mwandishi wa BBC nchini humo anasema wananchi wa Malawi wanajiuliza mapendekezo ya sheria hiyo, iwapo itapitishwa, itatekelezwaje?
Tupe maoni yako
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.