
Baadaye imegundulika kwamba kumbe jamaa ni mwizi sugu ambaye ameshawaliza watu kibao katika maeneo hayo na polisi walipokwenda kupiga sachi nyumbani kwake waligundua vitu vingi tu vya wizi. Jamaa anashikiliwa umwelani na dhamana yake imeamriwa iwe 1,100,000.
Tupe maoni yako
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.