Chelsea imeshindwa kuutumia vyema uwanja wake wa nyumbani na pia wachezaji wake wapya iliyowasajili, kwa kufungwa bao 1-0 na Liverpool.RAUL MEIRELES.
Fernando Torres wa Chelsea ambaye ndiye alikuwa gumzo kabla ya kuanza kwa mchezo, hakuweza kuwika na kupata goli dhidi ya timu yake ya zamani.
Timu zote zililikuwa zikicheza mchezo wa kutegeana kwa karibu muda wote.
Bao pekee na la ushindi kwa 'LIVA' lilipatikana katika dakika ya 69 baada ya krosi ya Steven Gerrard kumkuta Raul Meireles aliyepachika bao hilo kwa utamu na huku akisindikizwa na mlipuko wa shangwe utadhani LIVA walikuwa wakicheza dimba la HOME.
Chelsea inaendelea kusalia katika nafasi ya nne ikiwa na pointi 44, sawa na Tottenham, huku Liverpool ikijikita katika nafasi ya sita ikiwa na pointi 38.
RAIS SAMIA AFTURISHA WATOTO KIKOMBO DODOMA
-
Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe.
Mwanaidi Ali Khamis akigawa iftar kwa mmoja ya mtoto anayelelewa katka
Makao ...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.