DJ ELLY NA MC SAKINA LYOKA TOKA CLOUDS FM & TV WAKISHIRIKIANA NA MC KATUMBA WA STONE CLUB WATATUMIKA KISAWASAWA KUNAKSHI USIKU HUU WA TAARABU. Waliosimama kutoka kushoto ni MC KATUMBA, DJ.ELLY BIG DADY 4BY4 (mzee wa Night Kali) na akiwa na Sakina Lyoka, walioketi ni waimbaji malkia wa taarab Khadija Omar Kopa na Sabaha Salum, hapa wakizungumza na wakazi wa Rock City kupitia mawimbi ya Radio Passion fm Mwanza mchana huu kuwapa menyu ya usiku wa leo ndani ya STONE CLUB Mwanza.
GEORGE MASAJU ATEULIWA JAJI MKUU
-
*Na Happiness Katabazi.*
*RAIS Samia Suluhu Hassan Leo amemteua Jaji wa Mahakama ya Rufani George
Mcheche Masaju Kuwa Jaji Mkuu wa Tanzania.*
*Kwa Mujibu ...
TAZAMA USIKU WA BI FELISIA KYAMANI ULIVYO FANA
-
Wanafamilia na Waalikwa wakicheza kwaifuraha na shangwe kwenye siku hii
muhimu ya SendOff ya Bi Felias Kyamani .
Watu walivaa na kupendeza Ukumbi ulipambw...
Kaka Katumba hivyo hivyo!! Walete na wengine. Ngereza
ReplyDelete