DJ ELLY NA MC SAKINA LYOKA TOKA CLOUDS FM & TV WAKISHIRIKIANA NA MC KATUMBA WA STONE CLUB WATATUMIKA KISAWASAWA KUNAKSHI USIKU HUU WA TAARABU. Waliosimama kutoka kushoto ni MC KATUMBA, DJ.ELLY BIG DADY 4BY4 (mzee wa Night Kali) na akiwa na Sakina Lyoka, walioketi ni waimbaji malkia wa taarab Khadija Omar Kopa na Sabaha Salum, hapa wakizungumza na wakazi wa Rock City kupitia mawimbi ya Radio Passion fm Mwanza mchana huu kuwapa menyu ya usiku wa leo ndani ya STONE CLUB Mwanza.
”Rasmi Soko Kuu la Manispaa ya Bukoba lavunjwa”
-
Soko Kuu la Manispaa Bukoba limevunjwa ili kupisha ujenzi wa soko jipya la
kimataifa unaotarajiwa kuanza muda wowote.
Kwa Wakati tofauti wameonekana Wafa...
Kaka Katumba hivyo hivyo!! Walete na wengine. Ngereza
ReplyDelete