ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Saturday, January 1, 2011

MLIPUKO WA VODACOM NA MAKARIBISHO YA 2011 ILIVYOFANA NDANI YA JIJI LA MIAMBA.

'Haya sasa ugomvi huo' na anaye utaka ni Mnyamwezi' Mr. Hills-So-GooD wa Passion fm ndani ya kitaa cha eneo la tukio.

Mwamba wa kaskazini Joe Makini juu ya Red Capet la Milipuko ya VODACOM.

Watu toka mataifa mbalimbali nao walijumuika kulipuka.

Ni wadada watatu wanaounda kundi linaloitwa 'FAGIO' kutoka nchini uganda, askwambie mtu watamu ile kinyama.

Hapa ngoma sambamba na dance zilipigwaaaaaa', kisha wakaganda hivi kwa style, then chezo likaendelea.

Wanadada wa kundi la FAGIO wakivuma kwao zaidi, Kundi hili Ni mara ya kwanza kufanya show Tanzania na kutokana na ubora waliouonesha wananchi hawakusita kuwapa shangwe.

Producer Q.toka MO Record akiwa na mkewe (walioketi) pamoja na ma-member wa MO Record, wakifuatilia show kwa umakini.

Juma Nature 'wacha awalipue watu'

Raha ya utamu!!

Burudani ilinogeshwa na mpambano baina ya vijana hawa wa VHT (Victoria House of Talent) kutoka Zoo' (Mwanza) pamoja nao THT (Tanzania House of Talent)ktoka Dizim' (Dar es salaam). "Mashabiki walijitenga"

Mavijana ya THT...

Street ili shine ile mbayaaaaaaa!!

THT...Take 2

Dj Chriss (kulia) along side meneja wa FAGIO toka nchini Uganda.

Inspector Haroun aka 'BABU' naye alikuwepo siyo kwa show bali kula maisha.

Watu walifunga mtaa kisha lkapigwa burudani NZURI isiyo kifani, Humo ndani kila kitu kikipatikana, kuanzia burudani, vinywaji, vyakula aina zote, Flowerz nzuri tena zenye kunukia, usalama full yaani kila kitu. aaaaaaaah MILIPUKooooooo!!

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.