Mshindi wa Giraffe Unique Model, Asia Dachi (katikati) akiwa na furaha mara baada ya kutangazwa mshindi wa shindano hilo (unique model of the year 2010). Kulia ni mshindi wa pili, Diana Mainanson na mshindi wa tatu Mariam Rabii. Shindano hilo lilidhaminiwa na Giraffe ocean view hotel, Channel ten, Magic fm, Global pubishers, Mohammed enterprises, Truworths, mtaakwamtaablog na uniqueentertz blog.
“Nawashukuru wote, vyombo vya habari, wadau na kila mmoja kwa ushirikiano mzuri na sapoti kubwa mliyonipa, Bwana CHARLES BEKON kwa UDHAMINI NA HATIMAYE NIMEFANIKIWA KUFIKISHA JAHAZI UKINGONI, kisha kufanikiwa zoezi la kuwatangaza wanamitindo kumi katika soko la mitindo Tanzania. Hakika ni fahari kubwa.” By Magese.
RAIS SAMIA AFTURISHA WATOTO KIKOMBO DODOMA
-
Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe.
Mwanaidi Ali Khamis akigawa iftar kwa mmoja ya mtoto anayelelewa katka
Makao ...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.