Tupe maoni yako
IAEA yajionea mageuzi ya utoaji huduma katika Taasisi ya Ocean Road
-
Mkurugenzi Mkuu wa Nguvu za Atomu Tanzania (TAEC) Profesa Najat Kassim
Mohammed akizungumza kuhusiana na ujio wa IAEA katika Taasisi ya Ocean Road
kuanga...
1 hour ago
Happy EARTH DAY Shemeji.
ReplyDeleteNi baraka kuwa na mtu ambaye anajivunia kuwa nawe, lakini pia ambaye unajivunia kuwa naye. Yaani ambaye anakufanya ujivunie kuwa naye kiasi cha yeye kufanya mjivuno uliopo mwako uwe wake.
Sijui kama naeleweka, ila kwa ufupi ni kuwa NAWATAKIA MAISHA MEENGI YENYE WINGI USIO NA WENGI
Yaani baraka kwenu
HAPPY EARTHDAY SHEMEJI