Tupe maoni yako
WAZIRI MAVUNDE AZINDUA SACCOS YA CHAMA CHA MADEREVA BODA BODA NA BAJAJI
MKOANI DODOMA
-
Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma
WAZIRI wa Madini, ambaye pia ni Mbunge wa Dodoma Mjini Anthony Mavunde
amezindua Saccos ya Chama cha Madereva Bodaboda...
3 hours ago
Happy EARTH DAY Shemeji.
ReplyDeleteNi baraka kuwa na mtu ambaye anajivunia kuwa nawe, lakini pia ambaye unajivunia kuwa naye. Yaani ambaye anakufanya ujivunie kuwa naye kiasi cha yeye kufanya mjivuno uliopo mwako uwe wake.
Sijui kama naeleweka, ila kwa ufupi ni kuwa NAWATAKIA MAISHA MEENGI YENYE WINGI USIO NA WENGI
Yaani baraka kwenu
HAPPY EARTHDAY SHEMEJI