Tupe maoni yako
Rais Yoweri Museveni atangazwa mshindi wa uchaguzi wa 2026, mpinzani Bobi
Wine akataa matokeo
-
*KAMPALA, UGANDA — Tume ya uchaguzi nchini Uganda imeitangaza rasmi ushindi
wa Rais Yoweri Kaguta Museveni katika uchaguzi mkuu uliofanyika Alhamisi
wiki...
1 hour ago
Happy EARTH DAY Shemeji.
ReplyDeleteNi baraka kuwa na mtu ambaye anajivunia kuwa nawe, lakini pia ambaye unajivunia kuwa naye. Yaani ambaye anakufanya ujivunie kuwa naye kiasi cha yeye kufanya mjivuno uliopo mwako uwe wake.
Sijui kama naeleweka, ila kwa ufupi ni kuwa NAWATAKIA MAISHA MEENGI YENYE WINGI USIO NA WENGI
Yaani baraka kwenu
HAPPY EARTHDAY SHEMEJI