Sengo - una kiwango gani cha elimu, ustaarabu na ubinadamu? Hiyo picha ya kwanza iondoe please. Huyo ni binadamu na binadamu tuna kiwango fulani cha ubinadamu na heshima kwa binadamu wenzetu. Iweke mahali na weka onyo kwamba picha haipendezi na kama kuna mtu anayetaka kuiangalia basi afanye hivyo kwa hiari yake. Ndiyo ubinadamu huo na dunia nzima ndivyo hufanya. Umenishangaza sana.
Halafu tazama masikini unavyoshabikia, eti "Ngoma kama hii unaambiwa tafuta pua ya marehemu" Hujui hata wewe unaweza kutoka hapo nje sasa hivi ukakanyagwa na gari ukafa kama huyo baba? Au wewe Mungu mmeshaandikiana mkataba utakufa lini na utakufaje. Please iondoe hii picha. Niko tayari kuwasiliana na Google kuhusu suala hili hata kama ni kwenda ofisini kwao kuu kwa miguu (nakaa karibu nao tu hapa)
ENDORO WATER FALLS, MAAJABU MENGINE NGORONGORO
-
Mbaraka Mwinshehe aliwahi kuimba akiisifia Morogoro na jinsi maji
yanavyotiririka kutoka milimani.
Mwinshehe angekuwa hai pengine angefika maporomoko ...
Rais Museveni atangazwa mshindi wa uchaguzi Uganda
-
Tume ya uchaguzi nchini Uganda imemtangaza Rais Yoweri Kaguta Museveni kama
mshindi wa uchaguzi uliofanyika Alhamisi wiki hii, akiwa na jumla ya kura
7,946...
Sengo - una kiwango gani cha elimu, ustaarabu na ubinadamu? Hiyo picha ya kwanza iondoe please. Huyo ni binadamu na binadamu tuna kiwango fulani cha ubinadamu na heshima kwa binadamu wenzetu. Iweke mahali na weka onyo kwamba picha haipendezi na kama kuna mtu anayetaka kuiangalia basi afanye hivyo kwa hiari yake. Ndiyo ubinadamu huo na dunia nzima ndivyo hufanya. Umenishangaza sana.
ReplyDeleteHalafu tazama masikini unavyoshabikia, eti "Ngoma kama hii unaambiwa tafuta pua ya marehemu" Hujui hata wewe unaweza kutoka hapo nje sasa hivi ukakanyagwa na gari ukafa kama huyo baba? Au wewe Mungu mmeshaandikiana mkataba utakufa lini na utakufaje. Please iondoe hii picha. Niko tayari kuwasiliana na Google kuhusu suala hili hata kama ni kwenda ofisini kwao kuu kwa miguu (nakaa karibu nao tu hapa)
Tujifunze kuwa wastaarabu jamani!
Uncleeeeeeeeee! ondoa hiyo picha ya kwanza inatisha na haifai kumbuka blong lako pia watoto wanatizama.
ReplyDeleteg sengo hizo picha zinatisha bana uwe unatoa tahazari utanifanya nisile nyama mwezi mzima sasa
ReplyDelete