Sengo - una kiwango gani cha elimu, ustaarabu na ubinadamu? Hiyo picha ya kwanza iondoe please. Huyo ni binadamu na binadamu tuna kiwango fulani cha ubinadamu na heshima kwa binadamu wenzetu. Iweke mahali na weka onyo kwamba picha haipendezi na kama kuna mtu anayetaka kuiangalia basi afanye hivyo kwa hiari yake. Ndiyo ubinadamu huo na dunia nzima ndivyo hufanya. Umenishangaza sana.
Halafu tazama masikini unavyoshabikia, eti "Ngoma kama hii unaambiwa tafuta pua ya marehemu" Hujui hata wewe unaweza kutoka hapo nje sasa hivi ukakanyagwa na gari ukafa kama huyo baba? Au wewe Mungu mmeshaandikiana mkataba utakufa lini na utakufaje. Please iondoe hii picha. Niko tayari kuwasiliana na Google kuhusu suala hili hata kama ni kwenda ofisini kwao kuu kwa miguu (nakaa karibu nao tu hapa)
RC TANGA ATOA NENO KWA WANUNUZI WA ZAO LA MWANI
-
*Mkuu wa Mkoa wa Tanga akizungumza wakati wa ziara ya kutembelea wakulima
wa zao hilo katika Mtaa wa Sahare Kijijini Kata ya Mzingani Jijini Tanga
ambao ...
KATIKA PICHA MAPOKEZI YA MWILI WA BALOZI DR KAMALA
-
Ni Simanzi kubwa mapokezi ya Mwili wa Balozi Kamala
Jeneza lenye Mwili wa mpendwa wetu
Mkuu wa Wilaya ya Bukoba Mh Erasto Siima amewaongoza wananchi katika...
Sengo - una kiwango gani cha elimu, ustaarabu na ubinadamu? Hiyo picha ya kwanza iondoe please. Huyo ni binadamu na binadamu tuna kiwango fulani cha ubinadamu na heshima kwa binadamu wenzetu. Iweke mahali na weka onyo kwamba picha haipendezi na kama kuna mtu anayetaka kuiangalia basi afanye hivyo kwa hiari yake. Ndiyo ubinadamu huo na dunia nzima ndivyo hufanya. Umenishangaza sana.
ReplyDeleteHalafu tazama masikini unavyoshabikia, eti "Ngoma kama hii unaambiwa tafuta pua ya marehemu" Hujui hata wewe unaweza kutoka hapo nje sasa hivi ukakanyagwa na gari ukafa kama huyo baba? Au wewe Mungu mmeshaandikiana mkataba utakufa lini na utakufaje. Please iondoe hii picha. Niko tayari kuwasiliana na Google kuhusu suala hili hata kama ni kwenda ofisini kwao kuu kwa miguu (nakaa karibu nao tu hapa)
Tujifunze kuwa wastaarabu jamani!
Uncleeeeeeeeee! ondoa hiyo picha ya kwanza inatisha na haifai kumbuka blong lako pia watoto wanatizama.
ReplyDeleteg sengo hizo picha zinatisha bana uwe unatoa tahazari utanifanya nisile nyama mwezi mzima sasa
ReplyDelete