ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Tuesday, December 7, 2010

SHANGAA SHANGAA BASI MATUKIO NA MAZINGIRA!!

IMEDIZAINIWA TU WADAUUUU..... WACHA NIITOEEE


AyyAaaaaaa!!! Duh! Kama boga vile limepitiwa na tairi la gari. Ngoma kama hii unaambiwa tafuta pua ya marehemu.

Mmmh ajali zingine..TEHE! TEHEee!!!

KhAAh! WE NAWE! sa ndo nini sasa!!!

Tupe maoni yako

3 comments:

  1. Sengo - una kiwango gani cha elimu, ustaarabu na ubinadamu? Hiyo picha ya kwanza iondoe please. Huyo ni binadamu na binadamu tuna kiwango fulani cha ubinadamu na heshima kwa binadamu wenzetu. Iweke mahali na weka onyo kwamba picha haipendezi na kama kuna mtu anayetaka kuiangalia basi afanye hivyo kwa hiari yake. Ndiyo ubinadamu huo na dunia nzima ndivyo hufanya. Umenishangaza sana.

    Halafu tazama masikini unavyoshabikia, eti "Ngoma kama hii unaambiwa tafuta pua ya marehemu" Hujui hata wewe unaweza kutoka hapo nje sasa hivi ukakanyagwa na gari ukafa kama huyo baba? Au wewe Mungu mmeshaandikiana mkataba utakufa lini na utakufaje. Please iondoe hii picha. Niko tayari kuwasiliana na Google kuhusu suala hili hata kama ni kwenda ofisini kwao kuu kwa miguu (nakaa karibu nao tu hapa)

    Tujifunze kuwa wastaarabu jamani!

    ReplyDelete
  2. Uncleeeeeeeeee! ondoa hiyo picha ya kwanza inatisha na haifai kumbuka blong lako pia watoto wanatizama.

    ReplyDelete
  3. g sengo hizo picha zinatisha bana uwe unatoa tahazari utanifanya nisile nyama mwezi mzima sasa

    ReplyDelete

Note: Only a member of this blog may post a comment.