Mwezi wa mapumziko ya mwaka ndiyo huu na ndicho kipindi tunachokwenda kubadili kalenda marafiki kutoka mikoa ya mbali karibuni na kwa wale wanaokwenda sehemu na sehemu basi blogu hii yawatakia kila la kheri na kama vipi tutumiane hizo photo iwe zenu, za mazingira, matukio kupitia email:
albertgsengo@yahoo.com
Picha hii niliipiga last weekend nikiwa kwenye mtumbwi wakati navua samaki kwaajili ya kitoweo.
Mkutano wa uwekezaji Bonde la ziwa Victoria uliomalizika leo Ulifanyika hapa na wageni kulala hapa. Hoteli iko karibu na Tunza beach...on the way to the airport you branch off on your left (around Ilemela)..then follow road signs...dust road though.
Rafiki yangu Magonda anasema, "Mwaka huu nitakuwa na likizo na nilikuwa nimepanga kwenda kupumzika kijijini. Kabla ya kufika kijijini, ni lazima upitie Mwanza. Nimeshapata mahali pa kupumzika, ahsante kwa habari..."
Tupe maoni yako
safi sana sengo hizi ndo twataka na afadhali ile pich umeitoa duh nilipata ma nightmare
ReplyDelete