Mradi wa SUSTAINET umefanikiwa kujumuishwa kama sehemu ya mtandao wa UN kupitia shirika lake la chakula na kilimo - FAO umejikita zaidi katika kutoa elimu kwa wakulima wadogo na kushirikiana nao katika kuwaelekeza mbinu sahihi za kuanzisha miradi waweze kujikwamua kutoka katika lindi la umaskini kupitia kilimo chenye manufaa (kilimo cha biashara).
Traditional practices can be improved and combined with alternative ecological forms of land use, resulting in comprehensive systems for sustainable agriculture. A wealth of experience drawn from every continent confirms that these approaches have great potential, which is still significantly under-exploited. But before these successful approaches can be disseminated on a massive scale, numerous obstacles have to be overcome. Generally the potential users of sustainable agriculture do not have enough access to the information they need. An equally common problem is that political, social and economic structures in a country can inhibit the implementation of such approaches. Under the auspices of its National Strategy for Sustainable Development, the German federal government supports the SUSTAINET project, which aims to overcome these obstacles.
Tupe maoni yako
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.