TUKIANGALIA NYUMA KATIKA UANAHARAKATI DHIDI YA RUSHWA KATIKA MIAKA MITATU ILIYOPITA TUNAONA KUWA UTAMADUNI WA RUSHWA BADO UNAZIDIKUENEA DUNIANI KOTE (RUSHWA INAZIDI KUONGEZEKA). LAKINI PIA TUNAONA MIJADALA LUNINGANI, RADIONI, VIJIWENI KWENYE YETU MASKANI, HATA MTANDAONI, MJADALA UNAOKUWA JUU YA NINI KINACHOWEZA KUFANYWA KUZUIA RUSHWA, KUTANGAZA UWAZI NA KUONGEZA MAJADILIANO YA KIJAMII.
YOTE HAYA YAMEFANYIKA MBONA KAMA HALI IKO VILE VILE NA INAONGEZEKA? JEH! RUSWA INALINDWA NA TEKNOLOJIA AU TUNAIPENDAAAAAAAaaaaaaaaaaaa?
”Rasmi Soko Kuu la Manispaa ya Bukoba lavunjwa”
-
Soko Kuu la Manispaa Bukoba limevunjwa ili kupisha ujenzi wa soko jipya la
kimataifa unaotarajiwa kuanza muda wowote.
Kwa Wakati tofauti wameonekana Wafa...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.