TUKIANGALIA NYUMA KATIKA UANAHARAKATI DHIDI YA RUSHWA KATIKA MIAKA MITATU ILIYOPITA TUNAONA KUWA UTAMADUNI WA RUSHWA BADO UNAZIDIKUENEA DUNIANI KOTE (RUSHWA INAZIDI KUONGEZEKA). LAKINI PIA TUNAONA MIJADALA LUNINGANI, RADIONI, VIJIWENI KWENYE YETU MASKANI, HATA MTANDAONI, MJADALA UNAOKUWA JUU YA NINI KINACHOWEZA KUFANYWA KUZUIA RUSHWA, KUTANGAZA UWAZI NA KUONGEZA MAJADILIANO YA KIJAMII.
YOTE HAYA YAMEFANYIKA MBONA KAMA HALI IKO VILE VILE NA INAONGEZEKA? JEH! RUSWA INALINDWA NA TEKNOLOJIA AU TUNAIPENDAAAAAAAaaaaaaaaaaaa?
RAIS SAMIA AFTURISHA WATOTO KIKOMBO DODOMA
-
Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe.
Mwanaidi Ali Khamis akigawa iftar kwa mmoja ya mtoto anayelelewa katka
Makao ...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.