LEO NI AUGUST 13/2010, NI SIKU ILIYO NA HISTORIA KUBWA KWA MASHABIKI WA MUZIKI AFRIKA MASHARIKI HUSUSANI KANDA YA ZIWA VICTORIA NCHINI TANZANIA KWANI KIJANA WAO ANAYE SIMAMA KAMA BALOZI KUZITAMBULISHA SANAA NA RASLIMALI ZILIZOPO ZONE HIYO FARID KUBANDA AL-MAARUFU 'FID Q', ANAKUMBUKA SIKU ALIYO ZALIWA. SONGA BROTHER! BLOGU HII YAKUTAKIA KILA LA KHERI KATIKA HARAKATI ZA MAENDELEO (YAKO NA JAMII KWA UJUMLA).
TAZAMA USIKU WA BI FELISIA KYAMANI ULIVYO FANA
-
Wanafamilia na Waalikwa wakicheza kwaifuraha na shangwe kwenye siku hii
muhimu ya SendOff ya Bi Felias Kyamani .
Watu walivaa na kupendeza Ukumbi ulipambw...
Mbona Nyabulebeka silioni.. ulituahidi kaka G.
ReplyDelete