SIYO KWAMBA ZIKO KATIKA YARD YA KUUZA VYOMBO VYA USAFIRI, A-AAAA! HIZI NI PIKIPIKI ZILIZO KAMATWA JIJINI MWANZA NA JESHI LA POLISI MWANZA KUTOKANA NA MAKOSA MBALIMBALI YA USALAMA BARABARANI AU KUHUSISHWA NA MATUKIO YA UHALIFU AU PENGINE KUKOSA SIFA ZA KUWA BARABARANI (LESENI NA KADHALIKA).
HIVYO MWANAWANE, HUNA BUDI KUVUMILIA ILI UPATE KUPONA.
NI MAWE YANAYOTUMIKA KAMA VIGAE, MENGINE HUPANGWA UKUTANI KUNAKSHI KUTA, MENGINE SAKAFUNI. YAKIPAKWA VANISH UTAYATAKA. HUSAFIRISHWA KUTOKA MKOA WA KAGERA HADI SOKONI MITAA MBALIMBALI JIJINI MWANZA.
MCHICHA WA SH 100 MWINGI ILE KISAWASAWA!USHINDWE MWENYEWE TU! KUBORESHA MLO WAKO KWA ZAO BEI RAHISI, ZAO LISILO KUWA NA MSIMU MBOGA ZA MAJANI, KWANI HAPA JIJINI LINALIMWA HATA TOWN PEMBEZONI MWA ZIWA VICTORIA.
SERIKALI YAAHIDI KUBORESHA MIUNDOMBINU KING LION
-
Prof.Mkumbo katikati akisikiliza maelekezo kutoka kwa Meneja wa King Lion
Arnold Lyimo.
Waziri Mkumbo akiwa kwenye picha ya pamoja na wawekezaji wa ...
SERIKALI YAAHIDI KUBORESHA MIUNDOMBINU KING LION
-
Prof.Mkumbo katikati akisikiliza maelekezo kutoka kwa Meneja wa King Lion
Arnold Lyimo.
Waziri Mkumbo akiwa kwenye picha ya pamoja na wawekezaji wa ...
RAIS SAMIA AFTURISHA WATOTO KIKOMBO DODOMA
-
Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe.
Mwanaidi Ali Khamis akigawa iftar kwa mmoja ya mtoto anayelelewa katka
Makao ...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.