
Baadhi ya mapendekezo kwenye katiba hiyo ni kupunguza mamlaka ya rais, kulinda haki za kibinadam za wakenya pamoja na kubuni sera mpya ya umiliki wa ardhi.
Hata hivyo katika maeneo ya mkoa wa Rift Valley ambako ghasia za baada ya uchaguzi ziliathiri wengi, wengi walipiga kura ya kupinga katiba hiyo wakisema kuwa itachochea vurugu za kisiasa katika eneo hilo.

CHANZO CHA HABARI BBC SWAHILI.
Tupe maoni yako
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.