Tupe maoni yako
Marekani yasifu mazungumzo na Iran, Trump asema yameanza vyema
-
Marekani na Iran zilikutana jana huko Oman kufuatia kuongezeka kwa mvutano
kati ya nchi hizo, huku Trump akirudia kuonya kuhusu uwezekano wa shambulio
la k...
2 hours ago
ass,aleikum.ndugu wachambuzi mnajitaid kuchabua michezo ila ktk matamshi kidogo mnakosea..majina ya wachezaj,team na mikoa husika mfano bologna yatamkwa bolonya.barca ni basa,na neno calcio ni kacho ina maana ya kituo cha michezo.majina ya kitaliano na kispanish yanawapa taabu jitaidini.
ReplyDelete