Tupe maoni yako
TARURA YATEKELEZA UJENZI WA KM 56 ZA BARABARA ZA LAMI ILALA KUPITIA DMDP II
-
Serikali kupitia Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) imeanza
kutekeleza ujenzi wa barabara zaidi ya Kilomita 56 kwa kiwango cha lami na ...
9 minutes ago
ass,aleikum.ndugu wachambuzi mnajitaid kuchabua michezo ila ktk matamshi kidogo mnakosea..majina ya wachezaj,team na mikoa husika mfano bologna yatamkwa bolonya.barca ni basa,na neno calcio ni kacho ina maana ya kituo cha michezo.majina ya kitaliano na kispanish yanawapa taabu jitaidini.
ReplyDelete