BRO MOHAMED OMAR WA LIVERPOOL HIKI NDICHO KIPITA SHOTO CHA BARABARA YA NYERERE NAMUONEKANO WAKE MIAKA YA SASA.
MABINGWA WATETEZI ITALIA WAMEAGA KWA AIBU FAINALI ZA KOMBE LA DUNIA KATIKA HATUA ZA MAKUNDI WAKIWA MKIANI WALIPOCHAPWA 3-2 NA SLOVAKIA. JANA NDO NILIGUNDUA KUWA ROCK CITY INA WAPENZI WENGI WA ITALIA KWANI HAWAKUAMINI FILIMBI YA MWISHO.
BILA SHAKA WAWAJUA HAWA!! Sanaa ni usanii wowote, yaani utendaji wa binafsi au wa pamoja ambao, kwa kutumia vipaji vya kuzaliwa navyo au mbinu zinazotokana na mang'amuzi na masomo, unabuni na kuleta uzuri. Sanaa imegawanyika sehemu nyingi: k.mf. muziki, uigizaji, uchezaji, uchoraji, upigaji picha, sinema, ushonaji, uhariri, uchongaji, uandishi, ushairi n.k.
RAIS SAMIA AFTURISHA WATOTO KIKOMBO DODOMA
-
Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe.
Mwanaidi Ali Khamis akigawa iftar kwa mmoja ya mtoto anayelelewa katka
Makao ...
Naomba upige picha vizuri Nyerere Road niyaone majengu mapya ni muda mrefu.
ReplyDelete