Tupe maoni yako
BENKI YA STANDARD CHARTERED YAFANYA USAFI RUNGWE BEACH
-
Benki ya Standard Chartered Tanzania kwa kushirikiana na taasisi ya NIPE
FAGIO wamefanya zoezi la usafi katika fukwe za Rungwe Beach, jijini Dar es
Salaam,...
1 hour ago
hapo ni mjini kaka
ReplyDeletehilo jengo la rangi ya njano ni Salma cone na pembeni yake kulikuwa na TOTO STORE makao makuu ya club ya toto ya mwanza enzi hizo.
ReplyDeletena nyuma ya hapo mtaa wa pili kuna hiyo club ya DELUX