ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Thursday, February 25, 2010

KABAGO WA PASSION FM AFIWA NA MAMA YAKE MZAZI.

MTANGAZAJI MAHIRI WA PASSION FM YA JIJINI MWANZA AMBAYE PIA NI MSANII WA MUZIKI WA KIZAZI KIPYA PHILBERT KABAGO AMEMPOTEZA MAMA YAKE MZAZI ROSEMARY FELICIAN KABAGO ALIYEFARIKI DUNIA TRH 24 FEB 2010 KATIKA HOSPITALI YA RUFAA BUGANDO KWA TATIZO LA PRESHA, MWILI UNASAFIRISHWA LEO KUELEKEA BUKOBA KWA MAZISHI. "BWANA AMETOA NA BWANA AMETWAA JINA LA BWANA LIHIMIDIWE"

WADAU WA MO RECORDS YA JIJINI MWANZA WALIOHUDHURIA IBADA HIYO KUTOKA KUSHOTO MRS. MANYAGA,DJ SOUND, FILM PRODUCER HANS, MASANJA, PRODUCER TIDDY NA PRODUCER Q.THE DON.

Tupe maoni yako

2 comments:

  1. Pole kwa ndugu na jamaa ya Kaka Kabago.
    Asante kwa taarifa Kaka G
    Blessings

    ReplyDelete
  2. Nimepokea kwa mshtuko msiba wa mama yetu mama Kabago.

    Poleni sana familia yoote ya kabago.Tupo pamoja katika kipindi hiki kigumu.Pole sana Philbert kwa msiba.

    Sote tulimpenda mama,Mungu kampenda zaidi.Mwenyezi Mungu aipumzishe roho yake mahala pema peponi.Amina

    Naomba Sengo personally nifikishie salam zangu za pole kwa Philbert na nitashukuru sana ukipatia namba yake kupitia email yangu :edondaki@yahoo.com

    hao ni watu wangu wa karibu sana mitaa ya kirumba mkuu..plz nisaidie kwa hilo.asante

    ReplyDelete

Note: Only a member of this blog may post a comment.