Tupe maoni yako
'Niliwekewa dawa ya usingizi na kubakwa na mume wangu kwa miaka kadhaa'
-
Gumzo la kawaida liligeuka pale mume wake alikiri kwamba amekuwa akimtilia
dawa ya usingizi kwenye chai na kumbaka.
2 hours ago
Gsengo thanks sana kwa kutuletea Taswira za mwanza.
ReplyDeleteKule ile hotel ilikuwa maeneo ya Kamanga(ROCKY BEACH) baadaye nasikia walipewa wa Asia(sijui china au wahindi sina uhakika).Sijui kwa sasa inatwa jina gani na vipi kuna mabadiliko..kama yapo nitashukuru sana kuona Kiwanja hicho mkuu.
mdau Tampere,Finland
Edwin umejichimbia wapi we? Pamoja mzazi
ReplyDelete