Tupe maoni yako
MAAGIZO MATANO YATOLEWA KUONGEZA UFANISI KAMPUNI AMBAZO SERIKALI INA HISA
CHACHE
-
Pwani. Serikali imetoa maagizo matano kwa wakurugenzi wa bodi za kampuni
ambazo ina umiliki wa hisa chache, ikiwa ni sehemu ya jitihada ya kuboresha
u...
7 hours ago
Gsengo thanks sana kwa kutuletea Taswira za mwanza.
ReplyDeleteKule ile hotel ilikuwa maeneo ya Kamanga(ROCKY BEACH) baadaye nasikia walipewa wa Asia(sijui china au wahindi sina uhakika).Sijui kwa sasa inatwa jina gani na vipi kuna mabadiliko..kama yapo nitashukuru sana kuona Kiwanja hicho mkuu.
mdau Tampere,Finland
Edwin umejichimbia wapi we? Pamoja mzazi
ReplyDelete