MIILI YA WATU WALIOUAWA KIKATILI KIJIJI CHA BUHARE NJE KIDOGO YA MKOA WA MARA. WAZIRI WA MAMBO YA NDANI YA NCHI MH. LAWRANCE MASHA LEO MCHANA AMETEMBELEA ENEO YALIPO TOKEA MAUAJI YA KUTISHA YA WATU 17 WA FAMILIA MOJA KTK KIJIJI CHA BUHARE MKOANI MARA. PICHANI NI SEHEMU YA KIJIJI CHA BUHARE YALIPOTOKEA MAUAJI. PAMOJA NA KUWAPA POLE WAFIWA WAZIRI WA MAMBO YA NDANI YA NCHI ALIFIKA ENEO LA MAKABURI NA KUWEKA SHADA LA MAUA KAMA HESHIMA KWA WATU WALIOUAWA. MH. MASHA AMEWATAKA WANAUKOO HUO KUTOLIPIZA KISASI KWANI KWA KUFANYA HIVYO WATAENDELEZA WIMBI LA MAUAJI SAMBAMBA NA WAO KUTAMBULIWA KAMA WAUAJI. WAZIRI AMESEMA JESHI LAKE HALITOLALA, LITATUMIA MBINU ZOTE KUWASAKA POPOTE PALE WALIPO WALIOFANYA MAUAJI HAYO NA KUWATIA NGUVUNI ILISHERIA ICHUKUE MKONDO WAKE.
Taarifa kwa Umma Kuhusu Ongezeko la Bei za Mafuta.
-
Dar es Salaam, Tanzania
Tunatambua ongezeko kubwa la hivi karibuni la bei za mafuta ambalo
limeongezeka kwa asilimia 33. Kama jukwaa linalolenga kusawaz...
Serikali Yaongeza Muda wa Tume ya Uchunguzi
-
*Na Mwandishi Wetu*
*DODOMA, Aprili 4, 2026 — Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
imetangaza kuongeza muda wa kukamilisha kazi kwa Tume ya Kuchun...
0 comments:
Post a Comment