ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Wednesday, May 13, 2026

SIKU YA ZIWA VICTORIA 2026 KUFANYIKA JIJINI MWANZA NA MAONESHO KUANZIA TAREHE 18 HADI 21 MEI 2026

 

 

NA ALBERT G.SENGO 🌍 KARIBU MWANZA 🇹🇿 Maadhimisho ya Siku ya Ziwa Victoria 2026 yanakuja kwa kishindo jijini Mwanza kuanzia tarehe 18 hadi 21 Mei 2026! Kutakuwa na: Upandaji miti Uhamasishaji wa utunzaji wa maji Jukwaa la wadau Uzinduzi wa Kituo cha Kikanda cha Utafutaji na Uokoaji Maonesho makubwa ya biashara, huduma na bidhaa mbalimbali katika viwanja vya Nanenane Nyamhongolo. Nchi mbalimbali za Afrika Mashariki na Ukanda wa Ziwa Victoria zitashiriki pamoja na Tanzania kuwa mwenyeji. Kauli mbiu: “MAJI YETU, MUSTAKABALI WETU: TUUNGANE KWA UENDELEVU WA BONDE LA ZIWA VICTORIA” 📍 Mwanza ndiyo mahali pake! #LakeVictoriaDay2026 #Mwanza #ZiwaVictoria #Tanzania #EastAfrica #Environment #Nyamhongolo #VictoriaLake

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment