TIMU ya Simba SC imetoa sare ya bila kufungana na wenyeji, Dodoma Jiji FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara usiku huu Uwanja wa Jamhuri Jijini Dodoma.
Kwa matokeo hayo, Simba SC inafikisha pointi 23 katika mchezo wa 10 na kupanda kwa nafasi moja hadi ya tatu, wakati Dodoma Jiji FC inafikisha pointi 21 katika mchezo wa 16, ingawa inabaki nafasi ya sita.
Tupe maoni yako

0 comments:
Post a Comment