ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Thursday, February 12, 2026

MIKAKATI YA KUMTETEA MTETEA ABIRIA

 Dar es salaam

Katika mwendelezo wa Ziara ya Shirika la Kutetea Haki za Abiria Nchini (SHIKUHA) Mkoa wa Dar es Salaam 


Msimamizi wa SHIKUHA Mkoa wa Dar es Salaam na  Afisa Elimu na Operation SHIKUHA Mkoa wa Dar wameendelea kutembelea Ofisi za LATRA ambapo Leo hii wametembelea Ofisi ya LATRA CCC iliyoko Posta Dar es Salaam 


Wamepokelewa na Incharge wa LATRA CCC  Bi. Fatma ambapo walizungumzia masuala mbalimbali na mikakati ya kumtetea Abiria pindi anapokuwa amepokwa Haki zake za msingi awapo ndani ya chombo cha moto 


Imetolewa na:-

Ofisi ya Katibu Mkuu SHIKUHA-Taifa

Hashim Omary Ramadhani

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment