ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Thursday, September 18, 2025

SIMBA SC WAKWEA PIPA KUELEKEA BOTSWANA KUWAVAA GABORONE UTD JUMAMOSI LIGI YA MABINGWA

 

KIKOSI cha Simba SC kimeondoka JANA mchana kutoka Jijini Dar es Salaam kwenda Botswana kwa ajili ya mchezo wa kwanza Raundi ya Kwanza Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya wenyeji, Gaborone United Jumamosi kuanzia Saa 10:00 jioni Uwanja wa Taifa wa Botswana Jijini Gaborone.


Timu hizo zitarudiana Jumapili ya Septemba 28 Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam na mshindi wa jumla atakutana na mshindi wa jumla kati ya Simba Bhora ya Zimbabwe na Nsingizini Hotspurs ya Eswatini.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment