ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Monday, July 8, 2024

YANGA YASAJILI BEKİ WA KUSHOTO MKONGO KUTOKA ST ELOI LUPOPO

 


KLABU ya Yanga imemtambulisha beki wa kushoto, Chadrack Issaka Boka (24) kutoka St Eloi Lupopo ya kwao, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) kuwa mchezaji wake mpya kuelekea msimu ujao.

Chadrack Issaka Boka anakuwa mchezaji mpya wa tatu tu Yanga baada ya kiungo Mzambia, Clatous Chota Chama kutoka Simba na mshambuliaji Mzimbabwe, Prince Dube Mpumelelo kutoka Azam FC.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.