ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Thursday, February 1, 2024

MADIWANI KIBAHA MJI WAITAKA DAWASA KUSHUGULIKIA KERO YA MAJI HOSPITALI YA LULANZI

 VICTOR MASANGU,PWANI.

 
HOSPITALI ya Wilaya iliyopo katika  Halmashauri ya Kibaha mji kwa sasa inakabiliwa na changamoto ya ukosefu wa huduma ya maji safi na salama hali ambayo inawapa wagonjwa kero na usumbufu mkubwa hasa kwa wakinama wajawazito wanapojifungua.

Hayo yamebainishwa na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Kibaha mji Mussa Ndomba wakati akitoa taarifa ya changamoto ya maji  katika kikao cha baraza la madiwani robo ya pili na kuiomba Dawasa kuelekeza nguvu zaidi kupeleka maji katika hospitali hiyo.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.