ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Monday, December 18, 2023

VIPAJI VYA SOKA MWANZA VIMENASA TOPENI - DHULU ACADEMY WAWASILISHA KILIO CHAO


NA ALBERT G.SENGO/MWANZA Baadhi ya Taasisi za uleaji na ukuzaji vipaji kwa soka kwa vijana katika jiji la Mwanza, zinaendelea kupitia changamoto mbalimbali ambazo zisipopewa suluhu ya haraka, taifa litaendelea kusalia nyuma kimaendeleo katika kabumbu. Miongoni mwa changamoto hizo ni pamoja uhaba wa viwanja, ukosefu wa vifaa vya michezo kama vile mipira, jezi nakadhalika sanjari na kukosa fedha za uendeshaji ikiwa ni pamoja na kuwalipa waalimu na wataalamu wenye uwezo mkubwa. Mwandishi wetu Albert G. Sengo ametembelea mazoezi ya vijana wadogo wa Taasisi ya Dhulu Sports Academy yanayofanyika katika viwanja vya shule ya msingi Mirongo wilayani Nyamagana jijini Mwanza na kufanya mahojiano nao. #samiasuluhuhassan #jembefm #SportsRipoti #mwanza #sokatanzania

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.