ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Saturday, December 16, 2023

SERIKALI YATOA BILIONI 48 KUMALIZA TATIZO SUGU LA MAJI KWA WAKAZI WA PWANI NA DAR

NA VICTOR MASANGU. PWANI

Wananchi wa kata za  Pangani, Kwala Wilayani Kibaha  pamoja na eneo la Kibada Jijini Dar es salaam wanatarajia kuondokana na changamoto sugu ya upatikanaji wa maji safi na salama baada ya Serikali kutoa  shilingi billion 48 kwa ajili ya utekelezaji wa miradi mitatu ya maji.

Hayo yamebainishwa  na Waziri wa maji wakati  wa  halfa ya kutiliana  saini kati ya kampuni za ujezi kutoka nchini china, na mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira  Dar es salaam-Dawasa iliyofanyika mjini Kibaha huku akikemea vikali tabia ya kubambikia wananchi bili za maji.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.