ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Monday, October 9, 2023

KUKATIKA KWA UMEME NATAKA KUWE HISTORIA KWA TANZANIA

 NA ALBERT G. SENGO/BUKOMBE/GEITA

Kupitia kipindi Cha Mchakamchaka, Naibu Waziri Mkuu, Waziri Wa Nishati na Mbunge Wa Jimbo la Bukombe Mheshimiwa amezungumza namna alivyoipokea simu ya Rais Wa Jamuhuri ya Muungano Wa Tanzania Dkt @samia_suluhu_hassan wakati Wa sherehe ya Siku ya Walimu Dunia katika Uwanja Wa shule ya Sekondari Ushirombo Wilaya ya Bukombe Mkoani Geita. Aidha Mhe. Biteko amewakaribisha wawekezaji kutoka maeneo mbalimbali kuzichangamkia fursa zilizopo wilayani Bukombe. Kuhusu suala la tatizo la umeme na kukatika katika kwake Mhe. Naibu Waziri Mkuu, ambaye pia ni Waziri Wa Nishati na Mbunge Wa Jimbo la Bukombe ameahidi haya.............. . . Full interview iki hap YouTube channel yetu @jembefmtz

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.