ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Wednesday, August 2, 2023

NANE NANE MWANZA SIKU YA KWANZA TU TAYARI PAMENOGA

 NA ALBERT G. SENGO/MWANZA

Kutoka katika viwanja vya Nyamhongolo wilayani Ilemela jijini Mwanza hiki ndicho kinachoendelea. ........................................................................................................ MWENYEKITI WA KAMATI YA MAANDALIZI YA NANENANE KANDA YA ZIWA MAGHARIBI, MKUU WA MKOA WA MWANZA MHE. Mhe. CPA Amos Makalla ANAYO FURAHA KUUJULISHA UMMA KUWA, MAONESHO YA NANENANE MWAKA 2023 YANAFANYIKA KATIKA UWANJA WA NYAMHONGOLO ULIOPO MANISPAA YA ILEMELA KUANZIA TAREHE 01 HADI SIKU YA KILELE TAREHE 08/8/2023 WADAU, TAASISI, ASASI, MASHIRIKA NA MAKAMPUNI YOTE MNAKARIBISHWA KUSHIRIKI/KUONYESHA NA KUTANGAZA BIDHAA NA HUDUMA ZENU. KWA MAELEZO ZAIDI FIKA OFISI YA MKUU WA MKOA WA MWANZA IDARA YA KILIMO

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.