ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Monday, August 28, 2023

KUTANA NA MASHINE RAHISI YA KUFANYA USAFI NA KUVUTA UCHAFU, NYUMBANI NA KWENYE MAGARI - BEI POA SANA

 NA ALBERT G. SENGO/MWANZA

JEMBE FM inakutana na Shimomo international Pte LTD ambao wao wamekuja na mashine ya kuvuta uchafu na vumbi kwenye carpet za majumbani, za kwenye magari na madirisha ni moja kati ya wadau wanaoshiriki Maonyesho haya ya 18 ya Biashara ya Afrika Mashariki (MEATF) yanayofanyika katika Uwanja wa Furahisha jijini Mwanza kwa wiki moja kuanzia Agosti 25, 2023 hadi Sepetemba 3, 2023. Pamoja na wenyeji Tanzania, washiriki wengine ni kutoka nchi za Kenya, Uganda, Rwanda, Burundi, Sudan kusini na Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC).

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.