ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Monday, August 28, 2023

BRELA "TUMEJIZATITI KUHAKIKISHA WATEJA WANAOSAJILI MAKAMPUNI MAJINA HAYAGONGANI"

 NA ALBERT G.SENGO/MWANZA

Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara Exaud Kigahe leo ametembelea banda la BRELA katika maenesho ya wafanyabiashara Afrika Mashariki (EAC) yanayofanyika katika uwanja uwanja Furahisha Mwanza yakiandaliwa na TCCIA Kutoka viwanja hivyo jijini hapa Jembe Fm inazungumza na wadau wa banda hilo wakati ukaguzi wa bamanda ukiendelea.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.