ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Thursday, July 6, 2023

SABA SABA HII VIJANA TUNAKESHA NA YESU KATIKA TAMASHA KUBWA LA KUSIFU NA KUABUDU JIJINI MWANZA

 NA ALBERT G.SENGO/MWANZA

π—œπ—π—¨π— π—”π—” hii tarehe 7 mwezi wa 7 ni Sikukuu ya 7 7 vijana tunakutana katika mkesha wa kusifu na kuabudu pamoja na maombi unaofanyika katika kanisa la Philadelphia Gospel Assembly Buswelu Mwanza. Mc Suzuki anapata nafasi ya kuzungumza na baadhi ya wadau wahusika wa mkesha huo ambao kama ni vazi la usiku huo yaa πŸ”₯πŸ”₯π˜Ώπ™§π™šπ™¨π™¨ π™˜π™€π™™π™š - 𝙁π™ͺ𝙑𝙑 π™¬π™π™žπ™©π™š . MUDA kuanzia saa 3 usiku hadi majogoo. . ✔️π—ͺπ—”π—œπ— π—•π—”π—π—œ π—ͺπ—”π—§π—”π—žπ—”π—’π—žπ—¨π—ͺπ—˜π—£π—’. - Betha Andrew - Boaz Danken - Ester Nyanda - Goodluck Mombuli - Baraka John - Ben William - Martine Akida - Uswege Mtafya - Joel Kaema - Minister George ➖️➖️➖️➖️➖️➖️➖️➖️➖️➖️➖️➖️➖️➖️➖️➖️➖️➖️➖️➖️➖️ @boazdanken_worship_minister @im_benwilliam @mc_suzuki @jembefmtz @usegemtafya ➖️➖️➖️➖️➖️➖️➖️➖️➖️➖️➖️➖️➖️➖️➖️➖️➖️➖️➖️➖️➖️

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.