ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Thursday, June 8, 2023

'YANGA KESHO NI FUNGA KAZI'

 


𝗣𝗥𝗘𝗦𝗦💬


"Kesho ni mchezo wa mwisho wa ligi na ni sikukuu na siku kubwa kwetu ni siku ambayo tunaenda kusherekea mafanikio yetu kwa msimu huu na siku nzuri kuwa na mashabiki wetu"


"Tumekuwa na Safari nyingi na mechi nyingi zenye huzuni na zenye furaha kwetu. Uchovu bado ni mkubwa kutokana na ratiba hii ngumu lakini mara zote tumekuwa tayari kupambana"


"Mazingira ya michezo tunayocheza sasahivi naweza kusema ni mazingira ambayo hayapo kwenye ulimwengu wa mpira wa miguu lakini inabidi kujituma na ninaamini kesho tutakuwa na mchezo tofauti kutokana na mapumziko ya siku hizi mbili"


©Cedric Kaze 


#timuyawananchi 

#daimambelenyumamwiko 🟢🟡

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.