ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Thursday, May 4, 2023

TIES KAMPUNI YA KWANZA YA KIZALENDO INAYOTENGENEZA VIFAA VYA KUCHENJUA DHAHABU NCHINI TANZANIA

 NA ALBERT G.SENGO

TIES ni kampuni ya inayojihusisha na kutoa huduma za kihandisi katika Nyanja mbalimbali za uhandisi ikiwemo uchimbaji wa madini. Kampuni hiyo yenye makao yake makuu Jijini Dar-es-salaam ilianzishwa April 18 mwaka 2019. Kampuni hiyo imebuni na kutengeneza mtambo wa kuchenjulia madini ya dhahabu wa CIP katika mgodi wa mwamanga uliopo katika kijiji cha BURIGE halmashauri ya msalala wilayani Kahama mkoani Shinyanga

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.